Mchoraji vibonzo Godfrey Mwampembwa ambaye hufahamika zaidi kama Gado anasema ametishiwa kufungwa jela mara nyingi kutokana na kazi zake. Anasema serikali nyingi ...
Said Michael na Meddy Jumanne ni wachoraji katuni mashuhuri nchini Tanzania na ambao wanachangia katika uhuru wa kujieleza kupitia michoro ya katuni au vibonzo. #Kurunzi #DWkatuni ...